WAZIRI MKUU AKIKAGUA HALI YA UZALISHAJI MAJI , RUVU JUU NA RUVU CHINI ATOA TAMKO.
Posted On: Nov 25, 2021
KWA SHEHENA HII YA MABOMBA SHIDA YA MAJI DAR BYE BYE.
Posted On: Oct 22, 2021
WIKI YA MAJI "Thamani ya Maji kwa Uhai na Maendeleo"
Posted On: Mar 18, 2021
Afisa Mtendaji Mkuu DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja ametembelea mradi wa kupeleka Majisafi na salama ktk Mji wa Chalinze wenye thamani ya Bilioni 16 unaotarajiwa kumalizika mwezi Aprili 2020.Amewahakikishia wakazi wa Chalinze tatizo la Maji katika mji wao kubaki kuwa historia.
Posted On: Jul 30, 2019
Katibu mkuu Wizara ya Maji Prof Kitila Mkumbo awataka Mamlaka za Maji Nchini kutenga siku maalum kusikiliza na kutoa mrejesho Kero za Wananchi. #DawasaTunakuhitaji
Posted On: Jun 17, 2019
Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam DAWASA inawakumbusha wateja wote waliopo Dar es Salaam na Pwani kulipia huduma ya maji mara baada ya kupokea bili ya mwezi. Wateja wanaweza kulipia bili zao za maji kupitia mtandao wa simu wa Tigo. #DawasaTunawahitaji
Posted On: May 24, 2019