Video Gallery

Maji yameanza kuingia tenki la Mbagala.

Maji yameanza kuingia tenki la Mbagala. Tenki hilo lililo katika mnara wenye urefu wa mita 15 lina ujazo wa lita 500,000. Maji haya yatakuwa yanasambazwa katika maeneo ya Mbagala mission, Zakhiem, Kijichi, Kibonde maji na Mbagala Baghdad.#DawasaTunawahitaji

Posted On: May 23, 2019

AHADI YA ENG LUHEMEJA KWA DAWASA NA WATANZANIA WA DAR ES SALAAM

AHADI YA ENG LUHEMEJA KWA DAWASA NA WATANZANIA WA DAR ES SALAAM

Posted On: Jan 15, 2019