Maji yameanza kuingia tenki la Mbagala. Tenki hilo lililo katika mnara wenye urefu wa mita 15 lina ujazo wa lita 500,000. Maji haya yatakuwa yanasambazwa katika maeneo ya Mbagala mission, Zakhiem, Kijichi, Kibonde maji na Mbagala Baghdad.#DawasaTunawahitaji
Posted On: May 23, 2019
AHADI YA ENG LUHEMEJA KWA DAWASA NA WATANZANIA WA DAR ES SALAAM
Posted On: Jan 15, 2019