Matangazo

Imewekwa: Aug 24, 2021


TAARIFA KWA UMMA

TAARIFA KWA WAKAZI WA MAKONGO JUU

24.8.2021

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia wateja na wananchi wa eneo la MAKONGO JUU kuwa kutakua na upungufu wa huduma ya Maji kwa muda wa saa 48 kuanzia tarehe 23/8/2021 mpaka 25/8/2021

Sababu: kuruhusu Matengenezo katika Pampu Area 4 ya kusukuma Maji.

Maeneo yatakayoathirika kutokana ni

Mongella road, Makongo CCM, Kwa Materu, Kwa Bukuku, Kona ya ajabu, Londa shule, Londa biseko, na Sakuveda.

Wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 (bure) au

0735 202 121 (WhatsApp tu)

0736 602 601 (DAWASA Makongo)

Imetolewa na

Kitengo cha Mawasiliano na Jamii

DAWASA