Mbunge wa Jimbo la Segerea (CCM) Mheshimiwa Bonna Kamoli ametembelea banda la Dawasa kwenye maonyesho ya sabasaba yanayoendelea na kupongeza juhudi za Mamlaka za kusambaza huduma ya Maji kwenye maeneo mbalimbali Jimboni kwake.
Imewekwa : July, 05, 2019
Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo kuhusu ulazaji wa mabomba yatakayosafirisha huduma ya maji kutokea Kibamba hadi Wilaya ya Kisarawe.
Imewekwa : June, 07, 2019
CEO Site visit
Imewekwa : May, 22, 2019