Habari

Fundi wa DAWASA Mapuli Msafiri akibadilisha miundombinu chakavu ya maji kwenye bomba la inchi 4 eneo la Mbegani-Bagamoyo ili kuongeza msukumo wa maji.

... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 03, 2023

Kazi inalenga kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji ya uhakika kwa wakazi wa Chuo cha Mbegani na waliopo jirani la eneo hilo.

... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 03, 2023

Shughuli ya kusafisha na kuzibua chemba za majitaka ikiendelea maeneo mbalimbali ya jijini Dsm, ili kuboresha mifumo ya majitaka.

... Soma zaidi

Imewekwa: Dec 19, 2022

Epuka kutupa taka ngumu zinazoweza kusababish kuziba na kuleta athari za uchafuzi wa mazingira.

... Soma zaidi

Imewekwa: Dec 19, 2022

Mafunzo ya uongozi na utawala bora yametolewa kwa viongozi waandamizi wa DAWASA kwa lengo la kuongeza ufanisi na utendaji kazi mahala pa kazi.

... Soma zaidi

Imewekwa: Dec 16, 2022

Elimu ya utunzaji wa miundombinu ya maji ikitolewa kwa wakazi wa kijiji cha Manga -Mkata, Wilaya ya Handeni na Afisa Mawasiliano DAWASA Bi. E. Eusebius kwenye mkutano wa wananchi.

... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 15, 2022