Habari

Imewekwa: Jul, 21 2022

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Maji King'azi "A" unaotekelezwa na DAWASA.

News Images

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Maji King'azi "A" unaotekelezwa na DAWASA.