4th International Water Scientific Conference
29 Jan, 2025
Pakua

4th International Water Scientific Conference
DAWASA inawakaribisha Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kutembelea Banda la Mamlaka katika Kongamano la Nne la Kisayansi 2025. Huduma zitakazopatikana:
1. Kufahamu taratibu za Upatikanaji huduma ya Maji.
2. Miradi ya Majisafi na Usafi wa Mazingira inayoendelea kutekelezwa na Mamlaka.
3. Kupokea changamoto za kihuduma na kuzishughulikia kwa wakati.