4th International Water Scientific Conference
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 29 Jan, 2025
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    
                    4th International Water Scientific Conference
DAWASA inawakaribisha Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kutembelea Banda la Mamlaka katika Kongamano la Nne la Kisayansi 2025. Huduma zitakazopatikana:
1. Kufahamu taratibu za Upatikanaji huduma ya Maji.
2. Miradi ya Majisafi na Usafi wa Mazingira inayoendelea kutekelezwa na Mamlaka.
3. Kupokea changamoto za kihuduma na kuzishughulikia kwa wakati.
            