Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)

TIRA Logo
DAWASA YETU WIKI HII
30 Dec, 2025 Pakua
DAWASA YETU WIKI HII

Gazeti mtandao wiki hii

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amefanya ziara katika chanzo cha maji cha Mtambo wa Kuzalisha  maji cha Ruvu Chini ili kukagua hali ya Mto Ruvu pamoja na hali ya uzalishaji maji ambapo amewahakikishia wananchi kuimarika kwa hali ya maji katika Mto huo na kuielekeza DAWASA kuongeza nguvu ya usambazaji huduma Dar na Pwani.