DAWASA YETU - WIKI HII
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 07 Jul, 2025
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    
                    DAWASA YETU - WIKI HII
Gazeti mtandao wiki hii
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila ametoa wito kwa Watendaji wa DAWASA kuzingatia nidhamu na kushirikiana na Wananchi ili kuimarisha huduma za majisafi na Usafi wa Mazingira.
            