Wizara ya Maji

Dar es Salaam Water Supply And Sanitation Authority (DAWASA)

TIRA Logo
TAARIFA KWA UMMA 
26 Mar, 2024 Pakua
TAARIFA KWA UMMA 

TAARIFA KWA UMMA 

KUANZA USOMAJI MITA ZA MAJI MWEZI APRILI 2024

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawataarifu wateja na wananchi katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, kuwa zoezi la usomaji wa mita za maji utaanza Aprili 10 hadi 15, 2024.

Mamlaka inaomba ushirikiano kwa watoa huduma wa DAWASA pindi watakapopita katika makazi yenu kutekeleza zoezi hili. 

Baada ya mita kusomwa, mteja atapokea ujumbe mfupi kwa simu ili kuhakiki usomaji kabla ya bili yake kutoka.

Kwa taarifa zaidi wasiliana nasi kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 (Bure) na 0735-202121 (WhatsApp tu)

Imetolewa na 
Kitengo cha Mawasiliano
9.4.2024