ELIMU YA HUDUMA ZA MAJI MLANGO KWA MLANGO KINONDONI
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 28 Nov, 2024
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    ELIMU YA HUDUMA ZA MAJI MLANGO KWA MLANGO KINONDONI
Maafisa wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) watekeleza zoezi la kutembelea nyumba kwa nyumba katika kata ya Hananasifu, Wilaya ya Kinondoni kwa lengo la kutoa Elimu kuhusiana na Huduma za DAWASA.
            