JE, UMESOMEWA MITA YAKO YA MAJI?
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 14 Aug, 2024
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    Ndugu mteja, zoezi la usomaji na uhakiki wa mita za Maji linaendelea.
Endapo hujasomewa mita yako tafadhali wasiliana nasi 0800110064 (Bure) au 0735 202 121 (WhatsApp tu).
            