KILA LA KHERI KIDATO CHA SITA
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 07 May, 2025
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    
                    KILA LA KHERI KIDATO CHA SITA
DAWASA inawatakia kila la kheri na mafanikio tele wanafunzi wote wa Kidato cha Sita nchini Tanzania iliyoanza 05 Mei 2025.
Tunawatakia utulivu wa akili, afya njema,na juhudi zenye matokeo chanya. Elimu yenu ni msingi wa maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla.
Soma kwa bidii, amini katika uwezo wako, mafanikio ni yako! Mungu awatangulie
            