MALALAMIKO ZAIDI YA 1500 KWA SIKU HUPOKELEWA DAWASA - NUKUU
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 08 Aug, 2024
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    “Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) Malalamiko 1500 kwa siku hupokelewa DAWASA, kwa wateja wanaohudumiwa kupitia njia mbalimbali za Mawasiliano ikiwemo kituo cha huduma kwa wateja, mitandao ya kijamii na (aplikesheni za Mamlaka).”
Mhandisi Mkama Bwire
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu DAWASA
            