MKUTANO WA DAWASA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI - NUKUU
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 07 Aug, 2024
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    "Tunaishukuru sana Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha ukamilishwaji wa mradi mkubwa wa kusambaza maji wa Chalinze awamu ya Tatu uliogharimu Bilioni 94 uliosaidia kuongeza uzalishaji wa maji kutoka lita milioni 7.2 hadi lita milioni 21.6 kwa siku,"
Mhandisi Mkama Bwire
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA.
            