PONGEZI
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 19 May, 2025
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    
                    PONGEZI
Profesa Mohammed Janabi kwa kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika.
Tunakutakia mafanikio mema katika majukumu yako mapya.
            