Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)

TIRA Logo
SALAMU ZA PONGEZI
05 Nov, 2025 Pakua
SALAMU ZA PONGEZI

SALAMU ZA PONGEZI

Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) tunakupongeza kwa kuchaguliwa na kuapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Kazi na Utu tunasonga mbele"

DAWASA tunakuahidi ushirikiano katika usimamizi wa Sekta ya Maji