Wizara ya Maji

Dar es Salaam Water Supply And Sanitation Authority (DAWASA)

TIRA Logo
TAARIFA KWA UMMA - KUANZA KWA ZOEZI LA USOMAJI MITA ZA MAJI
10 Jul, 2025 Pakua
TAARIFA KWA UMMA - KUANZA KWA ZOEZI LA USOMAJI MITA ZA MAJI

TAARIFA KWA UMMA 

KUANZA KWA ZOEZI LA USOMAJI MITA ZA MAJI

10.7.2025

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawaatarifu Wateja na Wananchi katika Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, kuwa zoezi la usomaji mita za maji limeanza Julai 10 hadi 15, 2025.

Baada ya zoezi la usomaji mita  kukamilika, Mteja atapokea ujumbe wa kuhakiki usomaji wa mita yake kabla ya bili kutumwa.

Kwa taarifa zaidi wasiliana nasi kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 (Bure) na 0735 202121 (WhatsApp tu)

Imetolewa na 
Kitengo cha Mawasiliano