TAARIFA KWA UMMA - MABADILIKO YA OFISI ZA KIHUDUMA DAWASA MKURANGA
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 13 Sep, 2024
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    TAARIFA KWA UMMA
MABADILIKO YA OFISI ZA KIHUDUMA DAWASA MKURANGA
13.9.2024
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inapenda kuwataarifu Wananchi wa  wanaohudumiwa na Mkoa wa kihuduma DAWASA Mkuranga kuwa, ofisi imehamia eneo la Kisemvule katika jengo jipya la ghorofa mkabala na kituo cha Mafuta Olympic.
Mabadiliko haya yanaanza Septemba 15, 2024.
Kwa mawasiliano zaidi tupigie 0800110064 (Bure) na 0738 096086 DAWASA Mkuranga.
Imetolewa na 
Kitengo cha Mawasiliano
            