Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)

TIRA Logo
TAARIFA KWA WAKAZI WA KIGAMBONI - MATENGENEZO YA DHARULA YATAKAYOATHIRI UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI
27 Oct, 2025 Pakua
TAARIFA KWA WAKAZI WA KIGAMBONI - MATENGENEZO YA DHARULA YATAKAYOATHIRI UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI

TAARIFA KWA WAKAZI WA KIGAMBONI

MATENGENEZO YA DHARULA YATAKAYOATHIRI UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI

27.10.2025
 
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawajulisha wakazi  wanaohudumiwa kupitia tanki la maji kisarawe kuwa, kutakuwa na ukosefu wa huduma ya Majisafi kwa muda wa Saa 9

Muda: Siku ya Jumatatu, Oktoba 27, 2025 kuanzia Saa 8 Mchana hadi  Saa 5 Usiku.

Sababu: Kuruhusu maboresho ya dharula katika Miundombinu ya tanki la kuhifadhi maji kigamboni

Maeneo yatakayoathirika ni;
Nyakwale, Uvumba, Kifurukwe, kibugumo, Mkwajuni, Upendo, Muungano, Tungi, Magogoni, Tuamoyo, Kigamboni, Ferry, ungindoni, kiziza, Navy Military, Maweni mjimwema, Tumaini, Kigogo, Kichangani, Kichangani, Chuo Cha Mwalimu Nyerere, Tipper, Vijibweni pamoja na daraja la Nyerere

Tunaomba radhi kwa usumbufu utakao jitokeza. 

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi Kituo cha huduma kwa wateja: 
181 (Bure) au 0738 096 083 DAWASA Kigamboni

Imetolewa na 
Kitengo cha Mawasiliano