Wizara ya Maji

Dar es Salaam Water Supply And Sanitation Authority (DAWASA)

TIRA Logo
TAARIFA KWA WAKAZI WA SEGEREA HADI KINYEREZI
26 Jul, 2024 Pakua

TAARIFA KWA WAKAZI WA SEGEREA NA KINYEREZI

26/07/2024

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inapenda kuwataarifu Wananchi na Wakazi wanaohudumiwa na Kituo cha kusukuma maji Segerea kuwa, kutakuwa na ukosefu wa huduma ya maji kutokana na hitilafu kwenye pampu ya kusukuma maji. 

Sababu: Matengenezo ya Pampu yatakayohusisha ubadilishaji wa pampu katika kituo cha kusukuma maji Segerea.

Maeneo yatakayoathirika ni: 
Kinyerezi Mafuta ya Taa, Mnembwe, Kwa Makadali, New Vibe, Msikitini, Efata, Kota za NSSF, Kinyerezi Kanga na Bonyokwa Kisiwani

Wasiliana nasi kituo cha huduma kwa wateja 
0800110064 (Bure) au
0735202121 (WhatsApp tu)

Imetolewa na 
Kitengo cha Mawasiliano