TAARIFA MUHIMU - TUMEFUNGULIA HUDUMA KUPITIA TANKI LA KIMARA
10 Dec, 2025
Pakua
TAARIFA MUHIMU
TUMEFUNGULIA HUDUMA KUPITIA TANKI LA KIMARA
Ndugu Mteja wetu mnaohudumiwa kupitia Tanki la Maji Kimara tunapenda kuwajulisha kuwa tumefungulia huduma ya maji.
Maeneo yafuatayo yatanufaika;
Chuo Kikuu cha DSM (UDSM), Magufuli Hostel, Chuo cha Maji, TPDC, Mlimani City, Chuo cha Ardhi na Mlalakuwa.
Kwa changamoto ya huduma tupigie 181 (Bure)
