TAARIFA MUHIMU - TUMEFUNGULIWA HUDUMA KUPITIA TANKI LA KIMARA
10 Dec, 2025
Pakua
TAARIFA MUHIMU
TUMEFUNGULIWA HUDUMA KUPITIA TANKI LA KIMARA
Ndugu wateja wetu mnaohudumiwa na TANKI LA KIMARA, tunapenda kuwajulisha kuwa tumefungulia huduma ya maji.
Maeneo yatayaonufaika ni;
Ubungo, Magufuli Hostel, Mlimani City, Mwenge, Mikocheni, Kijitonyama, Kinondoni, Sinza A, Sinza C, Sinza D, Makumbusho, Mwananyamala, Masaki, Msasani, Oysterbay, Aga khan, JKCI, Muhimbili, Upanga Mashariki, Upanga Magharibi na Mjini Kati.
Kwa changamoto ya huduma tupigie 181 (Bure)
#Tunaendelea kuimarisha huduma
