Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)

TIRA Logo
TANGAZO - NAMBA 181 KUTOPATIKANA KWA WATUMIAJI WA VODACOM
19 Dec, 2025 Pakua
TANGAZO - NAMBA 181 KUTOPATIKANA KWA WATUMIAJI WA VODACOM

TANGAZO

NAMBA 181 KUTOPATIKANA KWA WATUMIAJI WA VODACOM

Ndugu Mteja,

Tunapenda kukutaarifu kuwa huduma ya namba 181 kupitia mtandao wa simu wa Vodacom kwa sasa haipatikani.

Tafadhali tumia mitandao mingine kama YAS, AIRTEL, TTCL au HALOTEL kuwasiliana nasi huduma kwa Wateja