Wizara ya Maji

Dar es Salaam Water Supply And Sanitation Authority (DAWASA)

TIRA Logo
TANZIA
26 Feb, 2025 Pakua
TANZIA

TANZIA

BARIKI LAMSON NZOWA

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) anasikitika kutangaza kifo cha Ndg. Bariki Lamson Nzowa (DAWASA Mtoni) aliyekuwa Dereva Mwandamizi, kilichotokea tarehe 24/02/2025 saa 01:00 usiku kwa ajali ya pikipiki eneo la Tabata - Maji Chumvi, Dar es Salaam.

Kwa sasa msiba upo nyumbani kwa Marehemu Tabata - Kisukuru kwa Mkuwa, Dar es Salaam.

DAWASA tunaungana na familia ya marehemu katika kuomboleza msiba huu mzito.

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana Lihimidiwe