Wizara ya Maji

Dar es Salaam Water Supply And Sanitation Authority (DAWASA)

TIRA Logo
MABORESHO YA HUDUMA HANANASIFU
15 Jun, 2024
MABORESHO YA HUDUMA HANANASIFU

Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Kinondoni wakiendelea na kazi ya kudhibiti upotevu wa maji katika bomba la inchi 3 eneo la Mashineni Kata ya Hananasifu Wilaya ya Kinondoni.

Kukamilika kwa kazi hiyo kutaimarisha upatikanaji wa huduma ya maji kwa wakazi zaidi ya 350 katika maeneo ya mashineni, juhudi  sekondari, kawawa, mkunguni A na B.