Wizara ya Maji

Dar es Salaam Water Supply And Sanitation Authority (DAWASA)

TIRA Logo
MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA HUDUMA YA MAJI KIMARA MAVURUNZA
10 Jun, 2024
MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA HUDUMA YA MAJI KIMARA MAVURUNZA

Kazi ya kuongeza msukumo wa maji katika bomba la usambazaji maji  eneo la Kimara Mavurunza inatekelezwa na mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)

Kazi hiyo imehusisha ulazaji wa bomba zenye ukubwa wa inchi 8 kwa lengo la kuongeza msukumo wa maji ili kuboresha huduma ya upatikanaji wa maji. 

Kukamilika kwa kazi kutaboresha huduma kwa wakazi wa maeneo ya;
Makongo Juu, Kanisa Katoriki, Kwa Majata, Kona ya Ajabu na Sakuveda.