Wizara ya Maji

Dar es Salaam Water Supply And Sanitation Authority (DAWASA)

TIRA Logo
UBORESHAJI HUDUMA YA MAJI MLANDIZI
07 Mar, 2025
UBORESHAJI HUDUMA YA MAJI MLANDIZI

Matengenezo la bomba la inchi 6 yakitekelezwa na mafundi wa Mamlaka ya majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA - Mlandizi) katika Kata ya Janga mtaa wa Ngeta Mlandizi Mkoa wa Pwani kwa lengo la kudhibiti upotevu wa maji uliosababishwa na kupasuka kwa bomba hili. 

Maboresho haya yatasaidia kuongeza msukumo wa maji kwa wakazi  zaidi ya 300 wa maeneo ya  Ngeta, Kimara, Makotopora, Kikongo, Lupunga, Mkino, Videte, Mwanabwito, Kidai, Madimla na kisabi.