DAWASA YETU - WIKI HII
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 08 Sep, 2025
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    
                    Gazeti mtandao wiki hii
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mheshimiwa Albert Msando amefanya ziara katika Mtambo wa Uzalishaji Maji Ruvu Juu kwa lengo la kuona na kujiridhisha hali ya uzalishaji wa maji katika mtambo huo.
 
            