Wizara ya Maji

Dar es Salaam Water Supply And Sanitation Authority (DAWASA)

TIRA Logo
MRADI WA MAJI BANGULO
27 Jul, 2025 Pakua
MRADI WA MAJI BANGULO

MRADI WA MAJI BANGULO

Mradi huu unahusisha Majimbo matano ya Uchaguzi ambayo ni Segerea, Ukonga, Temeke, ikiwa ni juhudi za Serikali kuboresha huduma ya upatikanaji wa majisafi kwa wakazi 450,000 wa Dar es Salaam ya Kusini.

MUDA WA MRADI

Mradi huu ulianza 7/1/2024 na kukamilika tarehe 31/1/2025, muda wa uangalizi (DLP) miezi 12

GHARAMA ZA MRADI

Gharama za mradi huu ni TZS 36,967,122,894.44

FAIDA ZA MRADI

Kusafirisha na kusambaza kiasi cha lita Milioni 23.3 kwa siku