MRADI WA MAJI BANGULO
							
							
							
							
							
						
					
                            
                                 27 Jul, 2025
                            
                                                        
                                 Pakua
                            
                                                    
                    
                    MRADI WA MAJI BANGULO
Mradi huu unahusisha Majimbo matano ya Uchaguzi ambayo ni Segerea, Ukonga, Temeke, ikiwa ni juhudi za Serikali kuboresha huduma ya upatikanaji wa majisafi kwa wakazi 450,000 wa Dar es Salaam ya Kusini.
MUDA WA MRADI
Mradi huu ulianza 7/1/2024 na kukamilika tarehe 31/1/2025, muda wa uangalizi (DLP) miezi 12
GHARAMA ZA MRADI
Gharama za mradi huu ni TZS 36,967,122,894.44
FAIDA ZA MRADI
Kusafirisha na kusambaza kiasi cha lita Milioni 23.3 kwa siku
            