SALAMU ZA POLE
08 May, 2025
Pakua

SALAMU ZA POLE
Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inatoa salamu za pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Watanzania kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Cleopa David Msuya kilichotokea tarehe 7.5.2025
DAWASA itaendelea kuenzi utumishi na uzalendo wake kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe.