Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)

TIRA Logo
TAARIFA MUHIMU - KURUHUSU HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA KEKO, CHANG'OMBE, KARIAKOO, MJINI KATI NA KIGAMBONI
16 Dec, 2025 Pakua
TAARIFA MUHIMU - KURUHUSU HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA KEKO, CHANG'OMBE, KARIAKOO, MJINI KATI NA KIGAMBONI

TAARIFA MUHIMU

KURUHUSU HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA KEKO, CHANG'OMBE, KARIAKOO, MJINI KATI NA KIGAMBONI

Ndugu wateja mnaohudumiwa kupitia TANKI LA KIGAMBONI tunapenda kuwajulisha kuwa tumefungulia huduma ya maji, maeneo yafuatayo yatapata huduma:

Keko, Chang'ombe, Mjini kati yote, Kariakoo na Kigamboni eneo lote.

Kumbuka kuwa na hifadhi ya kutosha ya vyombo vya Maji kipindi hiki cha upungufu

Kwa changamoto ya huduma tupigie 181 (Bure)