Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)

TIRA Logo
TAARIFA MUHIMU - KURUHUSU HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA SINZA, MANZESE, MABIBO NA KIGOGO
16 Dec, 2025 Pakua
TAARIFA MUHIMU - KURUHUSU HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA SINZA, MANZESE, MABIBO NA KIGOGO

TAARIFA MUHIMU

KURUHUSU HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA SINZA, MANZESE, MABIBO NA KIGOGO

Ndugu wateja mnaohudumiwa kupitia TANKI LA KIMARA tunapenda kuwajulisha kuwa tumefungulia huduma ya maji, maeneo yafuatayo yatapata huduma;

Sinza A, Sinza C, Mabibo, Kigogo, Mburahati, Kwa Jongo, Ubungo NHC, Shekilango, Urafiki, Manzese na Luhanga.

Kumbuka kuwa na hifadhi ya kutosha ya vyombo vya Maji kipindi hiki cha upungufu

Kwa changamoto ya huduma tupigie 181 (Bure)