TAARIFA KWA UMMA - KUFUNGULIWA KWA MABWAWA YA MAJITAKA AIRWING - UKONGA
01 Oct, 2024
Pakua
TAARIFA KWA UMMA
KUFUNGULIWA KWA MABWAWA YA MAJITAKA AIRWING - UKONGA
30/9/2024
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia Wananchi na Watoa huduma ya Magari ya uondoshaji Majitaka kuwa, Mabwawa ya kuchakata Majitaka Airwing yaliyopo eneo la Banana katika Wilaya ya Ilala yatafunguliwa kutoa huduma rasmi Oktoba 1,2024.
Magari yatakayotoa huduma katika eneo hili ni yale tu yaliyosajiliwa na kuwa na stika Maalumu kutoka DAWASA.
Kwa taarifa zaidi wasiliana nasi kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 (Bure) au 0735 202 121 (WhatsApp tu)
Imetolewa na
Kitengo cha Mawasiliano