Wizara ya Maji

Dar es Salaam Water Supply And Sanitation Authority (DAWASA)

TIRA Logo
TAARIFA KWA UMMA - KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WANAOHUDUMIWA NA TENKI LA CHANGANYIKENI
24 Sep, 2024 Pakua

TAARIFA KWA UMMA 

KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WANAOHUDUMIWA NA TENKI LA CHANGANYIKENI

23/09/2024

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inapenda kuwataarifu Wananchi na Wakazi wa wateja wanaopata huduma kupitia tenki la Maji Changanyikeni kuwa, kutakuwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa muda wa saa 10, siku ya Jumatatu, 23/09/2024 kuanzia saa 7 Mchana hadi 5 Usiku.

Sababu: Kuruhusu matengenezo katika kituo cha kusukuma maji cha Changanyikeni 

Maeneo yatakayoathirika ni: 
Mtipesa, West River, Down Hill, Camp Verde, Barabara ya Shule, Lastanza, Hekima, Precious, Camp Stone, Goba Hill, Sunset Close, Kachembele, Kantina, Shama, Magufuli, Mji Mpya Barrier na Ng’ambo ya Mto

Wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 (Bure) au 0735202121 (WhatsApp tu)

Imetolewa na 
Kitengo cha Mawasiliano